article

Volta ni mto muhimu wa Afrika ya Magharibi. Inaanza katika maungano ya tawimito yake ya Muhun (Volta nyeusi), Nazinon (Volta nyekundu) na Nakambe (Volta nyeupe) karibu na mji wa Salaga / Ghana.

Katika Ghana boma la lambo la Akosombo (Ghana) limesababisha kutokea kwa ziwa la Volta ambalo ni lambo kubwa kabisa duniani. Baada ya kuondoka katika ziwa hili lisilo asilia Volta inaingia katika Ghuba ya Guinea ya bahari Atlantiki.

mito ya Ghana | mito ya Burkina Faso

Volta | Volta (Fluss) | Volta River | Volta | Volta (fleuve) | Volta | Fiume Volta | ヴォルタ川 | Wolta | Volta (flod)

 

This article is licensed under the GNU Free Documentation License. It uses material from the "Volta (mto)".

Home Pageartsbusinesscomputersgameshealthhospitalshomekids & teensnewsphysiciansrecreationreferenceregionalscienceshoppingsocietysportsworld