| (Bendera ya Uganda) | (Nembo ya Uganda) |
Uganda ni nchi ya Afrika ya Mashariki. Imepakana na Kenya upande wa mashariki, Sudan upande wa kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa Magharibi, Rwanda na Tanzania upande wa kusini. Uganda ina sehemu kubwa ya ziwa la Viktoria Nyanza ikipakana hapo na Kenya na Tanzania.
Jina la Uganda lina asili yake katika ufalme wa Buganda uliopo katika kusini ya nchi pamoja na mji mkuu Kampala.
Uganda ni nchi mwanachma wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki.
Uganda | ዩጋንዳ | Uganda | أوغندا | Уганда | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Ugando | Uganda | Uganda | Uganda | اوگاندا | Uganda | Ouganda | Uganda | Uganda | אוגנדה | युगांडा | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Úganda | Uganda | ウガンダ | 우간다 | Uganda | Ouganda | Uganda | Uganda | Uganda | Уганда | Uganda | Uganda | Oeganda | Uganda | Uganda | Oganda | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Уганда | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Уганда | Uganda | உகாண்டா | ประเทศยูกันดา | Uganda | Uganda | ئۇگاندا | Уганда | Uganda | 乌干达 | Uganda