article Related Topics:
Uganda :: Ugandan_Martyrs :: Uganda_Martyrs_University :: Uganda_Christian_University
 

Jamhuri ya Uganda
Republic of Uganda

(Bendera ya Uganda) (Nembo ya Uganda)


Wito: For God and My Country
(Kiing. ya „Kwa ajili ya Mungu na Taifa langu“)
Lugha rasmi Kiingereza
Mji Mkuu Kampala
Aina ya Serikali Jamhuri
Raisi Yoweri Kaguta Museveni
Waziri Mkuu Apolo Nsibambi
Eneo 241.548 km²
Wakazi 27.269.482 (Julai 2005)
Wakazi kwa km² 113
Uhuru 9. Oktoba 1962
Pesa Shillingi ya Uganda
Wakati UTC+3
Wimbo ya Taifa Oh Uganda, Land of Beauty

Namba ya simu ya kimataifa +256

Uganda ni nchi ya Afrika ya Mashariki. Imepakana na Kenya upande wa mashariki, Sudan upande wa kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa Magharibi, Rwanda na Tanzania upande wa kusini. Uganda ina sehemu kubwa ya ziwa la Viktoria Nyanza ikipakana hapo na Kenya na Tanzania.

Jina la Uganda lina asili yake katika ufalme wa Buganda uliopo katika kusini ya nchi pamoja na mji mkuu Kampala.

Uganda ni nchi mwanachma wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki.

Miji ya Uganda


Nchi | Uganda

Uganda | ዩጋንዳ | Uganda | أوغندا | Уганда | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Ugando | Uganda | Uganda | Uganda | اوگاندا | Uganda | Ouganda | Uganda | Uganda | אוגנדה | युगांडा | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Úganda | Uganda | ウガンダ | 우간다 | Uganda | Ouganda | Uganda | Uganda | Uganda | Уганда | Uganda | Uganda | Oeganda | Uganda | Uganda | Oganda | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Уганда | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Uganda | Уганда | Uganda | உகாண்டா | ประเทศยูกันดา | Uganda | Uganda | ئۇگاندا | Уганда | Uganda | 乌干达 | Uganda

 

This article is licensed under the GNU Free Documentation License. It uses material from the "Uganda".

Home Pageartsbusinesscomputersgameshealthhospitalshomekids & teensnewsphysiciansrecreationreferenceregionalscienceshoppingsocietysportsworld