article

Kongo ni jina la kutaja vitu mbalimbali:

  • Mto wa Kongo ambao ni kati ya mito mikubwa zaidi ya Afrika na ya dunia; pia eneo la beseni yake

  • Nchi mbili katika Afrika ya kati:
Jamhuri ya Kongo (mji mkuu Brazzaville, kabla ya uhuru "Kongo ya Kifaransa")
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (mji mkuu Kinshasa, kabla ya uhuru "Kongo ya Kibelgiji")

  • Ufalme wa Kongo uliokuwa dola kubwa katika Angola ya Kaskazini na Kongo ya Magharibi wakati wa karne 14-17 BK.

  • Kongo > Bakongo, jina la kabila ya Kibantu yenye watu milioni 5 katika Kongo, Angola na Gabun.

  • Kongo > Kikongo, lugha ya Bakongo

  • "Kongo" imekuwa jina la meli za kijeshi huko Japani kutokana na mlima huu.

Конго | Congo | Kongo | Congo | Kongo | Congo (disambiguation) | Kongo | Congo | کنگو (ابهام‌زدایی) | Congo | קונגו | Kongo | Kongo | Kongo (homonimo) | Kongó | Congo | コンゴ | 콩고 | Kɔ́ngɔ | Kongas | Congo | Kongo | Kongo | Congo (desambiguação) | Конго | Kongo | Kongo | Congo | 刚果 | Congo

 

This article is licensed under the GNU Free Documentation License. It uses material from the "Kongo".

Home Pageartsbusinesscomputersgameshealthhospitalshomekids & teensnewsphysiciansrecreationreferenceregionalscienceshoppingsocietysportsworld