article

Heike Kamerlingh Onnes (21 Septemba 1853 – 21 Februari 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Alichunguza elementi katika hali ya baridi sana. Pia alifaulu kuoesha elementi ya heliamu. Mwaka wa 1913 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Wanasayansi | Tuzo ya Nobel ya Fizikia

Heike Kamerlingh Onnes | Heike Kamerlingh Onnes | Heike Kamerlingh Onnes | Heike Kamerlingh Onnes | Heike Kamerlingh Onnes | ヘイケ・カメルリング・オネス | Heike Kamerlingh Onnes | Heike Kamerlingh Onnes | Heike Kamerlingh-Onnes | Heike Kamerlingh Onnes | Heike Kamerlingh Onnes

 

This article is licensed under the GNU Free Documentation License. It uses material from the "Heike Kamerlingh Onnes".

Home Pageartsbusinesscomputersgameshealthhospitalshomekids & teensnewsphysiciansrecreationreferenceregionalscienceshoppingsocietysportsworld